Monday, 18 December 2017

Tafsiri ya surat fat,ha (ina aya 7 imetereka makkah ina majina 11)


(1)Kwa jina la Allah mwingi wa rehma mwenyekurehemu.
(2)kila sifa njema zinamstahiqi M/Mungu Mlezi wa ulimwengu.
(3) Mwingi wa rehma mwenye kurehemu.
(4) Mfalme wa siku ya dini (siku ya qiama).
(5)Wewe tu ndio tunakuabudu nawe tu ndio tunakuomba msaada.
(6)Tuongoze njia iliyo nyooka(yaani tuthubutishe,tufanye wenye kushikamana na dini ya uisilamu,uisilamubndio njia iliyo nyooka.
(7) njia ya wale ulio waneemesha sio ya wale walio kasirikiwa( yaani mayahudi) wala ya wale waliopotea(wanaswara watu wa kimasihi)

No comments:

Post a Comment

MADHARA NA FAIDA YA KITUNGUU MAJI

Na Imaam Jafari Mtavassy As, alaykum ndugu wasomajia na wapenzi wa blogg yetu hii pendwa leo nimechagua katika elimu ya tiba niongelee jamb...